VIDEO: Serikali yatangaza faini utayopigwa ukikutwa na Pombe ya Viroba.

Machi 1 2017 Serikali imeshatangaza kuwa Pombe za viroba ni marufuku kuanzia mtaani na utengenezaji viwandani ambapo baada ya hapo kwa yeyote atakayekutwa nayo aidha amebeba ama kutengeneza atakutana na sheria kali iliyotungwa.
Kuanzi march 2 2017 operation ya upekuzi kutafuta pombe hizo za Viroba ambayo itaongozwa na kamati za ulinzi na usalama za mikoa

Comments

Popular posts from this blog

FULL VIDEO: Kutoka Mahakama Kuu, Freeman Mbowe asikamatwe

VIDEO: Kanjunju John aliyebet na kuliwa mtaji Simba vs Yanga, amekabidhiwa mtaji na Ommy Dimpoz