News | Umoja wa Afrika kwa kauli moja umeunga mkono mpango wa kujiondoa katika mahakama ya ICC ambayo mataifa mengi ya Afrika yanahisi inawalenga viongozi wa bara la Afrika pekee. Mpango huo unapendekeza mataifa ya Afrika kuimarisha mahakama zake.

No automatic alt text available.

Comments

Popular posts from this blog

FULL VIDEO: Kutoka Mahakama Kuu, Freeman Mbowe asikamatwe

VIDEO: Kanjunju John aliyebet na kuliwa mtaji Simba vs Yanga, amekabidhiwa mtaji na Ommy Dimpoz