BREAKING :Mtu mmoja amekufa papo hapo na wengine wanne kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi wakiwa wamejikinga mvua ktk kibanda kilichojengwa chini ya mti kwenye kituo kikuu cha mabasi cha mjini Tukuyu wilayani Rungwe.


Comments

Popular posts from this blog

FULL VIDEO: Kutoka Mahakama Kuu, Freeman Mbowe asikamatwe

VIDEO: Kanjunju John aliyebet na kuliwa mtaji Simba vs Yanga, amekabidhiwa mtaji na Ommy Dimpoz